Umuhimu wa fedha katika biashara yako

Umuhimu wa fedha katika biashara yako

Mimi Na Wewe

08/12/2019 4:15AM

Episode Synopsis "Umuhimu wa fedha katika biashara yako"

Fedha ndiyo mfalme katika biashara yako. Bila fedha huwezi kusonga na kufika mbali. Ungana nami leo ninapo ongelea maeneo saba (7) yanayosababisha maumivu katika biashara na namna ya kukabiliana nayo na kuyazuia

Listen "Umuhimu wa fedha katika biashara yako"

More episodes of the podcast Mimi Na Wewe