Episode Synopsis "ADMIN-POLISI WATUMIA NGUVU SANA KWA RAIA NCHINI TANZANIA"
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu nchini Tanzania yamesema kuwa jeshi la polisi limetumia nguvu kupita kiasi katika kushughulikia walemavu waliokuwa wakifanya maandamano kupinga amri ya kutofika katikati ya mji wakisafirisha abiria kwa kutumia pikipiki zao za miguu mitatu zijulikanazo kama bajaji hapo awali serikali ya mkoa wa dar es salaam ilipinga pikipiki za miguu miwili kufika katikati ya mji na kupewa kibali maalum kwa walemavu wanaotumia bajaji kusafirisha abiria ikiwa ni sehemu ya ajira zao. Sikiliza ripoti ya mwandishi wetu Hawa Bihoga hapa.
Listen "ADMIN-POLISI WATUMIA NGUVU SANA KWA RAIA NCHINI TANZANIA"
More episodes of the podcast MwanavunjoTz's show
- ZITO KABWE || SERIKALI ILIKURUPUKA KUTANGAZA KUWA ITALIPWA NA ACCACIA
- MADHARA YATOKANAYO NA UMAARUFU
- HATUA ZA KUFUATA KUFUNGUA KAMPUNI AU BIASHARA EPS 5
- MwanavunjoTz|| Maamuzi Yako Matumaini Mapya
- DAWATI LA MWANAVUNJO || Kwanini Nipige Kura Chuoni
- ADMIN-MFAHAMU MKIMBIZI BORA 2017 UGANDA
- ADMIN-POLISI WATUMIA NGUVU SANA KWA RAIA NCHINI TANZANIA
- MBatia Atoa Ya Moyoni Kuhusu Utalii Road Vunjo
- STEVEN MASELE ASEMA KUHUSU MIGOGORO YA WAFUGAJI NA WAKULIMA
- Makonda || Uongozi Katika Umri Mdogo Ni Changamoto-audio
- AUDIO ||HANS POPE ANENELA BAADA YA KUJIUZULU SIMBA
- Audio || SAKATA LA MO DEWJI NA SIMBA SC
- Audio || Biashara Na Ujasiriamali - Kibwana Dachi