Listen "ADMIN-POLISI WATUMIA NGUVU SANA KWA RAIA NCHINI TANZANIA"
Episode Synopsis
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu nchini Tanzania yamesema kuwa jeshi la polisi limetumia nguvu kupita kiasi katika kushughulikia walemavu waliokuwa wakifanya maandamano kupinga amri ya kutofika katikati ya mji wakisafirisha abiria kwa kutumia pikipiki zao za miguu mitatu zijulikanazo kama bajaji hapo awali serikali ya mkoa wa dar es salaam ilipinga pikipiki za miguu miwili kufika katikati ya mji na kupewa kibali maalum kwa walemavu wanaotumia bajaji kusafirisha abiria ikiwa ni sehemu ya ajira zao. Sikiliza ripoti ya mwandishi wetu Hawa Bihoga hapa.
More episodes of the podcast MwanavunjoTz's show
MADHARA YATOKANAYO NA UMAARUFU
07/09/2017
MwanavunjoTz|| Maamuzi Yako Matumaini Mapya
02/07/2017
ADMIN-MFAHAMU MKIMBIZI BORA 2017 UGANDA
20/06/2017
ZARZA We are Zarza, the prestigious firm behind major projects in information technology.