Listen "Ep - 22 - Life in the Public Eye"
Episode Synopsis
Una ndoto za kua maarufu nchini Tanzania? Una ndoto za kufahamika na kila mtu kujua jina lako, na sura yako kufahamika kila sehemu? Uko tayari kukabiliana na matokeo ya umaarufu wako? Unadhani Maisha ya watu maarufu ni rahisi na yenye furaha muda wote?
Episode hii imezungumza na Dr Hamis Kigwangalla ambae ni Waziri wa Maliasili na utalii nchini Tanzania kuhusu “Life in the Public Eye” au Maisha kwenye macho ya umma.
Episode hii imezungumza na Dr Hamis Kigwangalla ambae ni Waziri wa Maliasili na utalii nchini Tanzania kuhusu “Life in the Public Eye” au Maisha kwenye macho ya umma.
More episodes of the podcast Men The Podcast
Jembe Kazini, Mpweke Nyumbani
21/10/2025
Wanaume vs Pombe: Tunaishi au Tunaisha?
07/10/2025
Mimi Nilivyo, Natosha
29/07/2025
Bado Najifunza
15/07/2025
Bro, Upo Tayari kuwaunga Mkono Wanawake?
01/07/2025
Hili Nalo Litapita
04/06/2025
Jikubali, Jipende
20/05/2025
Embracing The Legacy, Creating My Own Path
06/05/2025
100 Episodes later, Bado Tunapambana
23/04/2025
Kamari ni stress
09/04/2025
ZARZA We are Zarza, the prestigious firm behind major projects in information technology.