Tanzania Gnosis's podcast

Tanzania Gnosis's podcast

Por: Tanzania Gnosis
Neno "Gnosis" hurejelea ujuzi tunaopata kupitia uzoefu (experience) wetu wenyewe, lakini pia si sawa na ujuzi ambao tunaambiwa au kuamini. Gnosis - kwa jina lolote katika historia au utamaduni - ni maarifa, uzoefu, si ujuzi wa kiakili au dhana tu, imani, au nadharia. Neno hili ni sawa na neno la Kiebrania "Daath" na la Sanskrit "Jna."
6 episodios disponibles

Latest episodes of the podcast Tanzania Gnosis's podcast