Listen "Ep - 23 - Male Infertility"
Episode Synopsis
Kupata mtoto ni jambo la heri, kupata mtoto ni jambo la baraka. Binadamu walio wengi wanatamani sana kupata baraka hii ya kujaliwa mtoto LAKINI sio kila mtu ana uwezo huu wa kupata mtoto.
Wakati mara nyingi maongezo mengi yamekua yakielemea upande wa wanawake ambao hawawezi kupata Watoto, ukweli ni kwamba hata kwa wanaume kuna changamoto zake ila tu hua haziongelewi kiundani na kwa ukubwa wake.
Kwenye “Episode” ya leo, Michael na Nadia wanazungumza na Dr France Rwegoshora ambae ni Daktari bingwa mwandamizi wa magonjwa ya wanawake na uzazi na wanajadili swala la “Male Infertility”
Wakati mara nyingi maongezo mengi yamekua yakielemea upande wa wanawake ambao hawawezi kupata Watoto, ukweli ni kwamba hata kwa wanaume kuna changamoto zake ila tu hua haziongelewi kiundani na kwa ukubwa wake.
Kwenye “Episode” ya leo, Michael na Nadia wanazungumza na Dr France Rwegoshora ambae ni Daktari bingwa mwandamizi wa magonjwa ya wanawake na uzazi na wanajadili swala la “Male Infertility”
More episodes of the podcast Men The Podcast
Jembe Kazini, Mpweke Nyumbani
21/10/2025
Wanaume vs Pombe: Tunaishi au Tunaisha?
07/10/2025
Mimi Nilivyo, Natosha
29/07/2025
Bado Najifunza
15/07/2025
Bro, Upo Tayari kuwaunga Mkono Wanawake?
01/07/2025
Hili Nalo Litapita
04/06/2025
Jikubali, Jipende
20/05/2025
Embracing The Legacy, Creating My Own Path
06/05/2025
100 Episodes later, Bado Tunapambana
23/04/2025
Kamari ni stress
09/04/2025
ZARZA We are Zarza, the prestigious firm behind major projects in information technology.