Listen "Ep 13 - Mwanaume na Familia yake vs Corona na Mambo yake"
Episode Synopsis
Mwezi March Mwaka 2020, Tanzania ilitangaza kesi ya kwanza ya mtu aliyegundulika na virusi vya Corona. Kwa Mussa (sio jina lake halisi) hakuona kama hili jambo linamhusu. Musa ana mke ambae ni Daktari, ana watoto wawili lakini pia anaishi na mama yake pamoja na baba mkwe wake. Pale wafanyakazi wanaofanya ofisi moja na mke walipogundulika kua na virusi vya Corona, ilimbidi Mussa aiweke familia yake yote katika “karantini”,na hapo ndipo kazi ilipoanza.
Kama mwanaume ambae ni kichwa cha familia, kwenye janga hili la Korona kila mtu anakuangalia wewe kwa majibu ya maswali yao, ili uwape uhakika kua watakua sawa. Lakini, na wewe unamuangalia nani? Nani anakupa majibu ya maswali yako? Nani anakutoa hofu? Na nani anakubali kukupa bega lake pale unapohitaji kupumzika na kusikilizwa?
Michael na Nadia wanajadili hili leo
Kama mwanaume ambae ni kichwa cha familia, kwenye janga hili la Korona kila mtu anakuangalia wewe kwa majibu ya maswali yao, ili uwape uhakika kua watakua sawa. Lakini, na wewe unamuangalia nani? Nani anakupa majibu ya maswali yako? Nani anakutoa hofu? Na nani anakubali kukupa bega lake pale unapohitaji kupumzika na kusikilizwa?
Michael na Nadia wanajadili hili leo
More episodes of the podcast Men The Podcast
Jembe Kazini, Mpweke Nyumbani
21/10/2025
Wanaume vs Pombe: Tunaishi au Tunaisha?
07/10/2025
Mimi Nilivyo, Natosha
29/07/2025
Bado Najifunza
15/07/2025
Bro, Upo Tayari kuwaunga Mkono Wanawake?
01/07/2025
Hili Nalo Litapita
04/06/2025
Jikubali, Jipende
20/05/2025
Embracing The Legacy, Creating My Own Path
06/05/2025
100 Episodes later, Bado Tunapambana
23/04/2025
Kamari ni stress
09/04/2025
ZARZA We are Zarza, the prestigious firm behind major projects in information technology.